Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 31:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yakobo akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia ya kwamba anakimbia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yakobo alimdanganya Labani, Mwaramu, kwa kuondoka bila kumjulisha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakobo akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia ya kwamba anakimbia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 31:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Isaka akawa mwenye miaka arubaini alipomtwaa Rebeka binti Bethueli, Mshami, wa Padan-aramu, ndugu wa Labani, Mshami, kuwa mke wake.


Basi Labani alikuwa amekwenda kuwakata manyoya kondoo zake, na Raheli akaviiba vinyago vya babaye.


Basi akakimbia yeye na yote aliyokuwa nayo; akaondoka akauvuka mto, na kuelekea kwenye nchi ya milima ya Gileadi.


Mbona umekimbia kwa siri ukanihadaa, wala hukuniambia, nipate kuagana nawe uende zako kwa furaha, na nyimbo, na ngoma, na kinubi?


Nawe ujibu, ukaseme mbele za BWANA, Mungu wako, Baba yangu alikuwa Mwarami karibu na kupotea, akashuka Misri, akakaa huko ugenini, nao ni wachache hesabu yao; akawa taifa kubwa huko, yenye nguvu na watu wengi.