Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Raheli akasema, “Mungu amenitendea sawa, amekisikia kilio changu na kunipa mtoto wa kiume.” Akamwita mtoto huyo Dani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Raheli akasema, “Mungu amenitendea sawa, amekisikia kilio changu na kunipa mtoto wa kiume.” Akamwita mtoto huyo Dani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Raheli akasema, “Mungu amenitendea sawa, amekisikia kilio changu na kunipa mtoto wa kiume.” Akamwita mtoto huyo Dani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu; amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa hiyo akamwita jina Dani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita Dani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Raheli akasema, Mungu amenipa haki yangu, naye amesikia sauti yangu, akanipa mwana. Kwa hiyo akamwita jina lake Dani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:6
15 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Bilha akapata mimba, akamzalia Yakobo mwana.


Bilha, mjakazi wa Raheli, akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.


Wana wa Bilha, kijakazi wa Raheli, ni Dani na Naftali.


Na wana wa Dani; Hushimu.


Unihukumu kwa haki yako, Ee BWANA, Mungu wangu, Na usiwaache wanisimange.


Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe kutoka kwa mtu wa hila asiye haki.


Basi nikanunua kitambaa cha kitani sawasawa na neno la BWANA, nikajivika viunoni.


Kwa sababu hiyo nitawatawanya, kama makapi yapitayo, kwa upepo wa jangwani.


Umekuona kudhulumiwa kwangu, Ee BWANA; Unihukumie neno langu.


Katika wana wa Dani, vizazi vyao, kwa kufuata jamaa zao, na nyumba za baba zao, kama hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka ishirini na zaidi, wote walioweza kwenda vitani;


na hawa na wasimame juu ya mlima wa Ebali kwa laana; Reubeni, na Gadi, na Asheri, na Zabuloni, na Dani, na Naftali.


Na Dani akamnena, Dani ni mwanasimba, Arukaye kutoka Bashani.