Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 30:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akapata mimba, akazaa mwana, akasema, Mungu ameondoa aibu yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Raheli akapata mimba, akajifungua mtoto wa kiume, akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akapata mimba na akamzaa mwana; akasema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akapata mimba na akamzaa mwana na kusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapata mimba, akazaa mwana, akasema, Mungu ameondoa aibu yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 30:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaona ya kwamba Lea hakupendwa, naye akafungua tumbo lake; bali Raheli alikuwa hazai.


Na siku hiyo wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.


Na wale watu walikuwa wakimngojea Zakaria, wakastaajabia kukawia kwake mle hekaluni.


Hivi ndivyo alivyonitendea Bwana katika siku zile alizoniangalia ili kuniondolea aibu yangu mbele ya watu.


kwa mwanamwali bikira aliyekuwa ameposwa na mtu, jina lake Yusufu, wa ukoo wa Daudi; na jina lake bikira huyo ni Mariamu.


Kisha akamwambia baba yake, Basi na nifanyiwe neno hili; niache peke yangu muda wa miezi miwili, ili nipate kwenda milimani, na kuombolea ubikira wangu, mimi na wenzangu.