Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 29:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na alipokuwa akisema nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, maana aliwachunga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yakobo alipokuwa bado anazungumza na hao wachungaji, Raheli akafika na kondoo wa baba yake, kwani ndiye aliyekuwa akiwachunga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na alipokuwa akisema nao, Raheli akaja na kondoo wa baba yake, maana aliwachunga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 29:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


Ikawa Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mamaye, na kondoo wa Labani, ndugu wa mamaye, Yakobo akakaribia, na kulibingirisha lile jiwe litoke katika kinywa cha kisima, akawanywesha kondoo wa Labani, ndugu wa mamaye.


Wakasema, Hatuwezi, Mpaka makundi yote yakusanyike, watu wakabingirishe jiwe katika kinywa cha kisima, ndipo tunapowanywesha kondoo.


Musa akawa radhi kukaa kwake mtu yule, naye akampa Musa binti yake, Sipora.


Walipokuwa wakikwea mjini, wakakutana na wasichana, waliokuwa wakienda kuteka maji; wakawaambia, Je! Mwonaji yuko?