Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 29:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akawauliza, Je! Mnamjua Labani, mwana wa Nahori? Wakasema, Tunamjua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamjibu, “Tunamfahamu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamjibu, “Tunamfahamu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani mwana wa Nahori?” Wakamjibu, “Tunamfahamu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawauliza, “Je, mnamfahamu Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?” Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawauliza, Je! Mnamjua Labani, mwana wa Nahori? Wakasema, Tunamjua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 29:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.


Na Rebeka alikuwa na kaka, jina lake Labani. Labani akatoka mbio kumwendea yule mtu kisimani.


Mungu wa Abrahamu, na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba yao, ahukumu kati yetu. Yakobo akaapa kwa Hofu ya Isaka baba yake.