Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 29:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yakobo akafanya hivi, akatimiza siku zake saba. Naye Labani akampa Raheli, binti yake, kuwa mkewe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yakobo akakubali. Na Yakobo alipomtimizia Lea siku zake saba, Labani akampa Raheli, binti yake mdogo awe mke wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yakobo akakubali. Na Yakobo alipomtimizia Lea siku zake saba, Labani akampa Raheli, binti yake mdogo awe mke wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yakobo akakubali. Na Yakobo alipomtimizia Lea siku zake saba, Labani akampa Raheli, binti yake mdogo awe mke wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yakobo akafanya hivi, akatimiza siku zake saba. Naye Labani akampa Raheli, binti yake, kuwa mkewe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 29:28
5 Marejeleo ya Msalaba  

timiza siku zake saba, nasi tutakupa huyu naye kwa utumishi utakaonitumikia, miaka saba mingine.


Labani akampa binti yake Raheli mjakazi wake Bilha, awe mjakazi wake.


Mtumwa wako, baba yangu, akatuambia, Mnajua ya kuwa mke wangu alinizalia wana wawili;


Apataye mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.


Wala usitwae mwanamke pamoja na dada yake, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, dada yake akiwa hai.