Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 27:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akamvika pia ngozi za wale wanambuzi mikononi na kwenye sehemu laini shingoni mwake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na ngozi za wana-mbuzi akamvika mikononi, na katika ulaini wa shingo yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 27:16
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kwanza akatoka, naye alikuwa mwekundu mwili wote kama vazi la nywele. Wakamwita jina lake Esau.


Kisha Rebeka akatwaa mavazi mazuri ya Esau mwanawe mkubwa, aliyokuwa nayo nyumbani, akamvika Yakobo mwanawe mdogo.


Naye akampa Yakobo mwanawe mikononi mwake hicho chakula kitamu, na mkate aliouandaa.


Wala hakumtambua, kwa maana mikono yake ilikuwa kama mikono ya Esau, ndugu yake, yenye malaika; basi akambariki.