Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 26:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye akakiita jina lake Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba, hata leo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Isaka akakiita kisima hicho Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba hata leo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Isaka akakiita kisima hicho Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba hata leo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Isaka akakiita kisima hicho Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba hata leo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akakiita Shiba; hadi leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akakiita Shiba, mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye akakiita jina lake Shiba; kwa hiyo jina la mji huo ni Beer-sheba, hata leo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 26:33
6 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Wakasema, Hakika tuliona ya kwamba BWANA alikuwa pamoja nawe; nasi tukasema, Na tuapiane, sisi na wewe, na kufanya mapatano nawe


Ikawa siku ileile, watumwa wa Isaka wakaja wakampasha habari za kile kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, Tumeona maji.


na Hasar-shuali, na Beer-sheba na vijiji vyake;


bali msitafute Betheli, wala msiingie Gilgali, wala msipite kwenda Beer-sheba; kwani Gilgali hakika yake itakwenda utumwani, na Betheli itakuwa ubatili.