Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 26:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akapanda kutoka hapo mpaka Beer-sheba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutoka huko, Isaka alikwenda Beer-sheba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutoka huko, Isaka alikwenda Beer-sheba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutoka huko, Isaka alikwenda Beer-sheba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akapanda kutoka hapo mpaka Beer-sheba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 26:23
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akaamka asubuhi na mapema akatwaa mkate na kiriba cha maji, akampa Hajiri akamtwika begani pake, na kijana, akamruhusu; naye akatoka, akapotea katika jangwa la Beer-sheba.


Kwa hiyo akapaita mahali pale Beer-sheba, kwa sababu waliapa huko wote wawili.


Basi Abrahamu akawarudia vijana wake, wakaondoka, wakaenda zao pamoja mpaka Beer-sheba; Abrahamu akakaa huko Beer-sheba.


Yakobo akatoka Beer-sheba, kwenda Harani.


Israeli Akasafiri, pamoja na yote aliyokuwa nayo, akaja Beer-sheba, akamchinjia sadaka Mungu wa Isaka babaye.


bali msitafute Betheli, wala msiingie Gilgali, wala msipite kwenda Beer-sheba; kwani Gilgali hakika yake itakwenda utumwani, na Betheli itakuwa ubatili.


Ndipo wana wa Israeli walipotoka; na mkutano ukakutanika kama mtu mmoja, kutoka Dani hadi Beer-sheba, pamoja na nchi ya Gileadi wakamkutanikia BWANA huko Mispa.