Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 25:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Abrahamu akampa Isaka yote aliyokuwa nayo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu alimrithisha Isaka mali yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu alimrithisha Isaka mali yake yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu alimrithisha Isaka mali yake yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu akamwachia Isaka kila kitu alichokuwa nacho.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu akamwachia Isaka kila kitu alichokuwa nacho.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abrahamu akampa Isaka yote aliyokuwa nayo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 25:5
18 Marejeleo ya Msalaba  

na BWANA amembarikia sana bwana wangu, amekuwa mtu mkuu; amempa kondoo, na ng'ombe, na fedha, na dhahabu, na watumishi, na wajakazi, na ngamia, na punda.


Naye Sara, mkewe bwana wangu, akamzalia bwana wangu mwana wa kiume, katika uzee wake; naye amempa yote aliyo nayo.


Na wana wa Midiani walikuwa, Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote walikuwa ni wana wa Ketura.


Akawa na mali ya kondoo, na mali ya ng'ombe, na watumwa wengi. Hao Wafilisti wakamhusudu.


Wewe umepaa juu, umeteka mateka, Umepewa vipawa katikati ya wanadamu; Naam, hata na wakaidi, BWANA Mungu akae nao.


Akasema, Nimekabidhiwa vyote na Baba yangu; wala hakuna amjuaye Mwana, ila Baba; wala hakuna amjuaye Baba, ila Mwana, na yeyote ambaye Mwana apenda kumfunulia.


Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.


kama vile ulivyompa mamlaka juu ya watu wote, ili kwamba wote uliompa awape uzima wa milele.


Baba ampenda Mwana, naye amempa vyote mkononi mwake.


na kama tu watoto, basi, tu warithi; warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo; naam, tukiteswa pamoja naye ili tupate na kutukuzwa pamoja naye.


Yeye ambaye hakumhurumia Mwana wake mwenyewe, bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje pia kutupa chochote kingine pamoja naye?


Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Abrahamu, na warithi kulingana na ahadi.


Basi, ndugu zangu, kama Isaka sisi tu watoto wa ahadi.


Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae;


mwisho wa siku hizi amesema na sisi katika Mwana, aliyemweka kuwa mrithi wa yote, tena kwa yeye aliufanya ulimwengu.