Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 24:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Rebeka akajibu, “Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Milka, mkewe Nahori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Rebeka akajibu, “Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Milka, mkewe Nahori.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Rebeka akajibu, “Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Milka, mkewe Nahori.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yule msichana akamjibu, “Mimi ni binti ya Bethueli, mwana wa Milka aliyemzalia Nahori.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yule msichana akamjibu, “Mimi ni binti wa Bethueli, mwana wa Milka aliyemzalia Nahori.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Mimi ni binti wa Bethueli mwana wa Milka, aliyemzalia Nahori.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 24:24
8 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu na Nahori wakajitwalia wake. Jina la mkewe Abramu aliitwa Sarai, na jina la mkewe Nahori aliitwa Milka, binti Harani, ambaye alikuwa baba wa Milka na wa Iska.


Ikawa baada ya mambo hayo, Abrahamu akaambiwa ya kwamba, Tazama, Milka naye amemzalia Nahori ndugu yako wana;


Bethueli akamzaa Rebeka; hao wanane Milka alimzalia Nahori ndugu wa Abrahamu.


Ikawa, kabla hajaisha kunena, tazama, Rebeka anatokea, binti wa Bethueli mwana wa Milka, mkewe Nahori, ndugu wa Abrahamu, naye ana mtungi begani pake.


akasema, U binti wa nani wewe? Tafadhali uniambie. Je! Iko nafasi katika nyumba ya baba yako tupate mahali pa kukaa kwa muda?


Tena akamwambia, Kwetu kuna majani na malisho ya kutosha, na mahali pa kukaa wageni.


Kisha nikamwuliza, U binti wa nani wewe? Naye akasema, Mimi ni binti Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia. Nami nikamtia kishaufu puani mwake na vikuku mikononi mwake.


Akawauliza, Je! Mnamjua Labani, mwana wa Nahori? Wakasema, Tunamjua.