Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 21:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Abrahamu akasema, Nitaapa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abrahamu akasema, “Naapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abrahamu akasema, “Naapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abrahamu akasema, “Naapa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ibrahimu akasema, “Ninaapa hivyo.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ibrahimu akasema, “Ninaapa hivyo.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Abrahamu akasema, Nitaapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 21:24
6 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; aliyekuwa akikaa karibu na mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu.


Basi sasa uniapie kwa Mungu, ya kuwa hutanitenda hila, wala mwanangu, wala mjukuu wangu, lakini kwa kadiri ya fadhili niliyokutendea utanitendea mimi, na nchi hii ambayo umetembea ndani yake.


Kisha Abrahamu akamlaumu Abimeleki kwa sababu ya kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki wamemnyang'anya.


Akanena, Niapie. Naye akamwapia. Israeli akajiinamisha kwenye mchago wa kitanda.


Ikiwezekana, kwa upande wenu, mkae katika amani na watu wote.


Maana wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuliko wao; na kwao mwisho wa mashindano yote ya maneno ni kiapo, kwa kuyathibitisha.