Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 2:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jina la mto wa kwanza ni Pishoni; huo waizunguka nchi yote ya Hawila ambako kuna dhahabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jina la mto wa kwanza ni Pishoni; huo waizunguka nchi yote ya Hawila ambako kuna dhahabu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jina la mto wa kwanza ni Pishoni; huo waizunguka nchi yote ya Hawila ambako kuna dhahabu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 2:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.


Na wana wa Kushi ni Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama ni Sheba, na Dedani.


na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham.


Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi.


Wakakaa toka Havila mpaka Shuri, unaoelekea Misri, kwa njia ya kwenda Ashuru. Akakaa katikati ya ndugu zake wote.


na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.


Hakika kuna shimo wachimbako fedha, Na mahali wapatapo dhahabu waisafishayo.


Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu; na Yuda hata sasa anasitasita kwa Mungu, na kwake aliye Mtakatifu, naye ni mwaminifu.


Sauli akawapiga Waamaleki, toka Havila hadi Shuri, mashariki mwa Misri.