Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 17:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu alipomaliza kusema naye, akaondoka kwa Abrahamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Mungu alipomaliza kuongea, akamwacha Abrahamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Mungu alipomaliza kuongea, akamwacha Abrahamu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Mungu alipomaliza kuongea, akamwacha Abrahamu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Alipomaliza kuzungumza na Ibrahimu, Mungu akaondoka kwa Ibrahimu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati alipomaliza kuzungumza na Ibrahimu, Mungu akapanda juu akaondoka kwa Ibrahimu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu alipomaliza kusema naye, akaondoka kwa Abrahamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 17:22
11 Marejeleo ya Msalaba  

Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia,


Basi BWANA alipokwisha kuzungumza na Abrahamu, akaenda zake; Abrahamu naye akarudi mahali pake.


BWANA akamwambia Musa, Waambie wana wa Israeli hivi, Ninyi wenyewe mmeona ya kuwa nimenena nanyi kutoka mbinguni.


Hasira za BWANA zikawaka juu yao; kisha akaenda zake.


Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote; Mungu Mwana pekee aliye katika kifua cha Baba, huyu ndiye aliyemfunua.


Mimi na Baba tu mmoja.


BWANA alisema nanyi uso kwa uso mlimani, kutoka kati ya moto;


Kwa maana, ikawa, mara huo muali wa moto ulipopaa juu mbinguni kutoka pale madhabahuni, huyo malaika wa BWANA akapaa katika mwali wa moto wa madhabahu; nao Manoa na mkewe wakaangalia; wakaanguka kifudifudi.


Ndipo malaika wa BWANA akanyosha ncha ya fimbo ile iliyokuwa mkononi mwake, akaigusa ile nyama na ile mikate; moto ukatoka mwambani, ukaiteketeza ile nyama na mikate; malaika wa BWANA akaondoka mbele ya macho yake.