Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 16:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Abramu alikuwa na umri wa miaka 86 wakati Hagari alipomzaa Ishmaeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Abramu alikuwa na umri wa miaka 86 wakati Hagari alipomzaa Ishmaeli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Abramu alikuwa na umri wa miaka 86 wakati Hagari alipomzaa Ishmaeli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita Hajiri alipomzalia Ishmaeli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka themanini na sita, hapo Hajiri alipomzalia Abramu Ishmaeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 16:16
7 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Abramu akaenda, kama BWANA alivyomwamuru; Lutu akaenda pamoja naye. Naye Abramu alikuwa mtu wa miaka sabini na mitano alipotoka Harani.


Hajiri akamzalia Abramu mwana wa kiume; Abramu akamwita jina lake Ishmaeli, yule mwanawe, ambaye Hajiri alimzaa.


Kwa hiyo, baada ya Abramu kukaa miaka kumi katika nchi ya Kanaani, Sarai mkewe Abramu alimtwaa Hajiri Mmisri, mjakazi wake, akampa Abramu mumewe, kama mke.


Abramu alipokuwa mtu wa miaka tisini na tisa, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu.


Na Ishmaeli mwanawe alikuwa mtu wa miaka kumi na mitatu, alipotahiriwa nyama ya govi lake.


Naye Abrahamu alikuwa mtu wa miaka mia moja, alipozaliwa mwana wake Isaka.


Ishmaeli aliishi miaka mia moja na thelathini na saba. Akakata roho, akafa, akakusanyika kwa watu wake.