Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 10:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Misri alikuwa babu wa Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Misri alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Misraimu alikuwa baba wa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 10:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

na Reseni, kati ya Ninawi na Kala, nao ni mji mkubwa.


Na wana wa Hamu ni Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.


Haya! Pandeni, enyi farasi; Jihimizeni, enyi magari ya vita; Mashujaa nao na watoke nje Kushi na Puti, watumiao ngao; Nao Waludi, washikao uta na kuupinda.


Kushi, na Putu, na Ludi, na watu wote waliochanganyika, na Kubu, na wana wa nchi ya agano, wataanguka kwa upanga pamoja nao.