Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu akalifanya anga, akayatenga maji yaliyo juu ya anga na yale yaliyo chini ya anga hilo. Ikawa hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu akalifanya anga, akayatenga maji yaliyo juu ya anga na yale yaliyo chini ya anga hilo. Ikawa hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu akalifanya anga, akayatenga maji yaliyo juu ya anga na yale yaliyo chini ya anga hilo. Ikawa hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa hiyo Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa hiyo Mwenyezi Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Nchi na itoe majani, mimea itoayo mbegu, na miti ya matunda izaayo matunda kwa jinsi yake, ambao mbegu zake zimo ndani yake, juu ya nchi; ikawa hivyo.


tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.


Mungu akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo.


Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.


Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.


Huyafunga maji ndani ya mawingu yake mazito; Na hilo wingu halipasuki chini yake.


Hupeleka chemchemi katika mabonde; Zapita kati ya milima;


Yeye aliyeumba mbingu kwa fahamu zake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Msifuni, enyi mbingu za mbingu, Nanyi maji mlioko juu ya mbingu.


Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.


Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.


Mawingu yakiwa yamejaa mvua, Yataimimina juu ya nchi; Na mti ukianguka kuelekea kusini, au kaskazini, Paangukapo ule mti, papo hapo utalala.


Wale watu wakamaka wakisema, Huyu ni mtu wa namna gani hata pepo na bahari zamtii?