Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mwanzo 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

na ingae angani na kuiangazia dunia.” Ikawa hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

na ingae angani na kuiangazia dunia.” Ikawa hivyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

na ing'ae angani na kuiangazia dunia.” Ikawa hivyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nayo iwe mianga kwenye nafasi ya anga ya kutia nuru juu ya dunia.” Ikawa hivyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nayo iwe mianga kwenye nafasi ya anga ya kutia nuru juu ya dunia.” Ikawa hivyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tena iwe ndiyo mianga katika anga la mbingu itie nuru juu ya nchi; ikawa hivyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mwanzo 1:15
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Na iwe mianga katika anga la mbingu ili itenge kati ya mchana na usiku; nayo iwe ndiyo dalili ya kuonesha majira, siku na miaka;


Mungu akaumba mianga miwili mikubwa, ule mkubwa utawale mchana, na ule mdogo utawale usiku; akafanya na nyota pia.


Mungu akaliumba anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.


Hufanya mapito yake kung'aa nyuma yake Hata mtu angedhani kilindi kina mvi.