Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mika 7:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama katika siku zile za kutoka kwako katika nchi ya Misri nitamwonesha mambo ya ajabu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama wakati ulipotutoa nchini Misri, utuoneshe tena maajabu yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama wakati ulipotutoa nchini Misri, utuoneshe tena maajabu yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama wakati ulipotutoa nchini Misri, utuoneshe tena maajabu yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Kama siku zile mlipotoka Misri, nitawaonesha maajabu yangu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Kama siku zile mlipotoka Misri, nitawaonyesha maajabu yangu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama katika siku zile za kutoka kwako katika nchi ya Misri nitamwonesha mambo ya ajabu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mika 7:15
9 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana alisema, Kutoka Bashani nitawarudisha, Nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari;


Nami nitaunyosha mkono wangu, na kuipiga Misri kwa ajabu zangu zote, nitakazofanya kati yake, kisha baadaye atawapa ruhusa kwenda.


Akasema, Tazama, nafanya agano; mbele ya watu wangu wote nitatenda miujiza, ya namna isiyotendeka katika dunia yote, wala katika taifa lolote; na watu wote ambao unakaa kati yao wataona kazi ya BWANA, kwa maana ni neno la kutisha nikutendalo.


Itakuwako njia kuu kwa mabaki ya watu wake watakaobaki, watokao Ashuru, kama vile ilivyokuwako kwa Israeli, katika siku ile waliyotoka katika nchi ya Misri.


Si wewe uliyemkatakata Rahabu? Uliyemchoma yule joka? Si wewe uliyeikausha bahari, Na maji ya vilindi vikuu; Uliyevifanya vilindi kuwa njia, Ili wapite watu waliokombolewa?


Amka, amka, jivike nguvu, Ee mkono wa Bwana; Amka kama katika siku zile za kale, Katika vizazi vile vya zamani.