Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mika 5:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nitajilipiza kisasi katika hasira na ghadhabu kwa mataifa yasiyonitii.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hasira na ghadhabu yangu, nitalipiza kisasi mataifa yote yasiyonitii.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hasira na ghadhabu yangu, nitalipiza kisasi mataifa yote yasiyonitii.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu, kwa mataifa ambayo hayajanitii.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu juu ya mataifa ambayo hayajanitii.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nitajilipiza kisasi katika hasira na ghadhabu kwa mataifa yasiyonitii.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mika 5:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ili kufanya kisasi juu ya mataifa, Na adhabu juu ya makabila ya watu.


Kwa hiyo, asema Bwana, BWANA wa majeshi, Mwenye enzi, wa Israeli, Nitapata faraja kwa hao wanipingao, nitalipiza kisasi kwa adui zangu;


mimi nitawaandikia kuuawa kwa upanga, na ninyi nyote mtainama ili kuchinjwa; kwa sababu nilipoita hamkuitika; niliponena, hamkusikia; bali mlitenda yaliyo mabaya machoni pangu, mlichagua mambo nisiyoyafurahia.


Na hayo mabaki ya Yakobo yatakuwa kati ya mataifa, kati ya kabila nyingi, mfano wa simba kati ya wanyama wa msituni, kama mwanasimba kati ya makundi ya kondoo, ambaye, akiwa anapita katikati, hukanyagakanyaga na kuraruararua, wala hakuna wa kuokoa.


Basi sasa, sikieni asemavyo BWANA; Simama, ujitetee mbele ya milima, vilima navyo na visikie sauti yako.


katika muali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;