Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 7:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hekima humfanya mwenye busara kuwa na nguvu zaidi kuliko watawala kumi mjini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo kuliko watawala kumi katika mji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidi kuliko watawala kumi katika mji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hekima ni nguvu zake mwenye hekima, Zaidi ya wakuu kumi waliomo mjini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 7:19
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwenye hekima huupandia mji wao wenye nguvu; Na kuziangusha nguvu za tumaini lao.


Mtu mwenye hekima ana nguvu; Naam, mtu wa maarifa huongeza uwezo;


Ushauri ni wangu, na maarifa yaliyo sahihi; Mimi ni ufahamu, mimi nina nguvu.


Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.


Kwa maana ulinzi wa hekima ni kama ulinzi wa fedha na ubora wa maarifa ni kwamba hekima humhifadhi yeye aliye nayo.