Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hekima ni ya thamani kubwa kama urithi; ni muhimu kwa wale wote walio hai.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema na huwafaidia wale walionalo jua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 7:11
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bali hekima itapatikana wapi? Na mahali pa ufahamu ni wapi?


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Taji la wenye hekima ni mali zao; Bali upumbavu wa wajinga ni upumbavu tu.


Maana biashara yake ni bora kuliko biashara ya fedha, Na faida yake ni nyingi kuliko dhahabu safi.


Yeye ana thamani kuliko marijani, Wala vyote uvitamanivyo havilingani naye.


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


Ndipo nilipoona ya kuwa kweli hekima hupita upumbavu, kwa kadiri nuru ipitavyo giza;


Usiseme, Kwa nini siku za kale zilikuwa ni bora kuliko siku hizi? Maana si kwa hekima unauliza hili.