Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 6:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zaidi ya hayo, mtoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwanga wa jua wala kutambua chochote. Hata hivyo, huyo mtoto angalau hupata pumziko ambapo yule mtu hapati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zaidi ya hayo, mtoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwanga wa jua wala kutambua chochote. Hata hivyo, huyo mtoto angalau hupata pumziko ambapo yule mtu hapati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zaidi ya hayo, mtoto wa namna hiyo hakupata kuuona mwanga wa jua wala kutambua chochote. Hata hivyo, huyo mtoto angalau hupata pumziko ambapo yule mtu hapati.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko kuliko mtu huyo:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko zaidi kuliko mtu huyo,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 6:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.


Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,


Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.


naam, zaidi ya hao wote nikamwita heri yeye asiyekuwako bado, ambaye hakuyaona mabaya yanayotendeka chini ya jua.


yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;


naam, ajapoishi miaka elfu mara mbili, asijiburudishe kwa mema; je! Wote hawaendi mahali pamoja?