Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mtoto mfu hafaidiki chochote kwa kuzaliwa; yeye hutokomea gizani, akasahaulika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

yaani, hiyo huja katika ubatili, na huenda gizani, nalo jina lake limefunikwa giza;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 6:4
3 Marejeleo ya Msalaba  

Wazawa wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.


Mtu akizaa watoto mia moja, akaishi miaka mingi, hata siku za maisha yake zikiwa nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;


tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;