Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 6:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kuna baa nililoliona mimi chini ya jua, nalo linawalemea wanadamu kwa uzito;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimeona jambo moja ovu hapa duniani, linalowakandamiza watu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimeona jambo moja ovu hapa duniani, linalowakandamiza watu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimeona jambo moja ovu hapa duniani, linalowakandamiza watu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimeona ubaya mwingine chini ya jua, nao unalemea sana wanadamu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimeona ubaya mwingine chini ya jua, nao unalemea sana wanadamu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuna baa nililoliona mimi chini ya jua, nalo linawalemea wanadamu kwa uzito;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 6:1
2 Marejeleo ya Msalaba  

Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alizoziweka mwenyewe kwa kujinyima;


mtu aliyepewa na Mungu mali, ukwasi, na heshima, hata asipungukiwe na kitu chochote kwa nafsi yake, katika yote anayoyatamani lakini Mungu hamwezeshi kula katika hizo; bali mgeni hula. Hayo ndiyo ubatili hasa, nayo ni ugonjwa mbaya.