Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 5:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini, pamoja na hayo, manufaa ya nchi kwa kila njia ni mfalme anayejibidiisha kwa ajili ya shamba.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hata hivyo, mfalme akijishughulisha na kilimo ni manufaa kwa wananchi wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hata hivyo, mfalme akijishughulisha na kilimo ni manufaa kwa wananchi wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hata hivyo, mfalme akijishughulisha na kilimo ni manufaa kwa wananchi wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini, pamoja na hayo, manufaa ya nchi kwa kila njia ni mfalme anayejibidiisha kwa ajili ya shamba.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 5:9
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mbingu ni mbingu za BWANA, Bali nchi amewapa wanadamu.


Chakula kingi chapatikana kwa ukulima wa maskini; Bali viko viharibiwavyo kwa sababu ya dhuluma.


Alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele; Bali afuataye mambo ya upuzi atapata umaskini wa kumtosha.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Apendaye fedha hatashiba fedha, Wala apendaye wingi hatashiba nyongeza. Hayo pia ni ubatili.


Ujapokuwa unaona maskini kuonewa, na hukumu na haki kuondolewa kwa jeuri katika jimbo, usilistaajabie jambo hilo; kwa sababu, Aliye Juu kuliko walio juu huangalia; Tena wako walio juu kupita hao.


Juhudi zote za binadamu ni kwa kinywa chake, Lakini hamu yake haitosheleki.