Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 5:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ni afadhali usiweke nadhiri, Kuliko kuiweka usiiondoe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ni afadhali kutoweka nadhiri kuliko kuweka nadhiri kisha usiitimize.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ni afadhali kutoweka nadhiri kuliko kuweka nadhiri kisha usiitimize.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ni afadhali kutoweka nadhiri kuliko kuweka nadhiri kisha usiitimize.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuiweka na usiitimize.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuiweka na usiitimize.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni afadhali usiweke nadhiri, Kuliko kuiweka usiiondoe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 5:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ni mtego, mtu aseme kwa haraka, Kitu hiki ni wakfu; Na baada ya kuweka nadhiri kuulizauliza habari.


au, kama mtu akijiapisha, kwa kutamka haraka kwa midomo yake, kutenda uovu, au kutenda mema, neno lolote mtu atakalolitamka kwa kiapo pasipo kufikiri, bila kujua; hapo atakapolijua, ndipo atakapokuwa na hatia katika mambo hayo mojawapo;


Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani; Nitaziondoa nadhiri zangu. Wokovu hutoka kwa BWANA.


Kwa maana yapasa midomo ya kuhani ihifadhi maarifa, tena yawapasa watu kuitafuta sheria kinywani mwake; kwa kuwa yeye ni mjumbe wa BWANA wa majeshi.


Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako? Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu, bali Mungu.


Utakapoweka nadhiri kwa BWANA, Mungu wako, usiwe mlegevu katika kuiondoa; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, hataacha kuitaka kwako; nayo hivi itakuwa dhambi kwako.


Lakini ukijizuia usiweke nadhiri, haitakuwa dhambi kwako.


Ikawa alipomuona akayararua mavazi yake, akasema, Ole wangu! Mwanangu, umenitweza sana, nawe u mmoja miongoni mwa hao wanisumbuao; kwa kuwa mimi nimemfunulia BWANA kinywa changu, nami siwezi kurudi nyuma.