Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 5:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usingizi wake kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo, au awe amekula kingi; lakini kushiba kwake tajiri hakumwachi kulala usingizi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe ameshiba au amekula kidogo tu. Lakini usingizi wa tajiri ni wa wasiwasi daima, maana ziada ya mali yake humsumbua usiku kucha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo au kingi, lakini wingi wa mali humnyima tajiri usingizi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usingizi wa kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo au kingi, lakini wingi wa mali humnyima tajiri usingizi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usingizi wake kibarua ni mtamu, awe amekula kidogo, au awe amekula kingi; lakini kushiba kwake tajiri hakumwachi kulala usingizi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 5:12
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kazi yenu ni bure, mnaoamka mapema, Na kukawia kwenda kulala, Na kula chakula cha taabu; Yeye humpa mpenzi wake usingizi.


Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama.


Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.


Basi, nikaamka, nikaangalia; na usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.