Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 4:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpumbavu hafanyi kazi na mwisho hujiua kwa njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpumbavu hafanyi kazi na mwisho hujiua kwa njaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpumbavu hafanyi kazi na mwisho hujiua kwa njaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mpumbavu hukunja mikono yake na kujiangamiza mwenyewe.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpumbavu hukunja mikono yake na kujiangamiza mwenyewe.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mpumbavu huikunja mikono yake, Naye hula chakula chake mwenyewe;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 4:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Nitaitwaa nyama ya mwili wangu katika meno yangu, Na kuutwaa uhai wangu mkononi mwangu!


Mwenye rehema huitendea mema nafsi yake; Aliye mkali hujisumbua mwili wake.


Mtu mvivu hapiki mawindo yake; Bali mwenye bidii anazo mali za thamani.


Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Ewe mvivu, utalala hadi lini? Utaondoka lini katika usingizi wako?


Maneno ya kinywa chake mwenye hekima yana neema; Bali midomo ya mpumbavu itammeza nafsi yake.


Hupokonya upande wa mkono wa kulia, nao huona njaa! Hula upande wa mkono wa kushoto, wala hawashibi! Watakula kila mtu nyama ya mkono wake mwenyewe.