Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mhubiri asema, Ubatili mtupu; mambo yote ni ubatili!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi Mhubiri nasema: Yote ni bure kabisa! Yote ni bure.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi Mhubiri nasema: Yote ni bure kabisa! Yote ni bure.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi Mhubiri nasema: Yote ni bure kabisa! Yote ni bure.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili! Kila kitu ni ubatili!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili! Kila kitu ni ubatili!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mhubiri asema, Ubatili mtupu; mambo yote ni ubatili!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 12:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika binadamu ni ubatili, Na wenye cheo ni uongo, Katika mizani huinuka; Wote pamoja ni hafifu kuliko ubatili.


Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu


Mimi, Mhubiri, nilikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.


Nimeziona kazi zote zifanywazo chini ya jua; na, tazama, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Nikatia moyo wangu ili kuijua hekima, na kujua wazimu na upumbavu; nikatambua ya kwamba hayo yote nayo ni kufukuza upepo.


Mhubiri asema, Ubatili mtupu, ubatili mtupu, mambo yote ni ubatili.


Basi, nikauchukia uhai; kwa sababu kazi inayotendeka chini ya jua ilikuwa mbaya kwangu; yaani, mambo yote ni ubatili na kufukuza upepo.


Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Kwa maana ni nani ajuaye yaliyo mema ya mwanadamu katika maisha yake, siku zote za maisha yake ya ubatili, anayoishi kama kivuli? Kwa maana ni nani awezaye kumweleza mwanadamu mambo yatakayofuata baada yake chini ya jua?


Hakuna mwenye uwezo juu ya roho aizuie roho; Wala hana mamlaka juu ya siku ya kufa; Wala hakuna kuponyoka katika vita vile; Wala uovu hautamwokoa yule aliyeuzoea.