Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 12:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tena, zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wowote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari! Kuandika vitabu hakuna mwisho na kusoma kwingi huchokesha mwili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari! Kuandika vitabu hakuna mwisho na kusoma kwingi huchokesha mwili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zaidi ya hayo, mwanangu, jihadhari! Kuandika vitabu hakuna mwisho na kusoma kwingi huchokesha mwili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo. Hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tena, zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo; hakuna mwisho wowote wa kutunga vitabu vingi; na kusoma sana huuchosha mwili.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 12:12
7 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano.


Yaani, Katika wingi wa hekima mna wingi wa huzuni; Naye aongezaye maarifa huongeza masikitiko.


Lakini hizi zimeandikwa ili mpate kuamini ya kwamba Yesu ndiye Kristo, Mwana wa Mungu; na kwa kuamini muwe na uzima kwa jina lake.


Pia kuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.


Mnayachunguza maandiko kwa sababu mnadhani kuwa ndani yake ninyi mna uzima wa milele; na maandiko yayo hayo ndiyo yanayonishuhudia.