Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 12:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 12:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Ushauri mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi.


Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu


Mimi, Mhubiri, nilikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.


Amin, amin, nakuambia kwamba, Lile tulijualo tunalinena, na lile tuliloliona tunalishuhudia; wala ushuhuda wetu hamwukubali.


kwa sababu ya tumaini mlilowekewa akiba mbinguni; ambalo habari zake mlizisikia zamani kwa neno la kweli ya Injili;


Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi; ambao wa kwanza wao ni mimi.