Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 11:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanga wafaa, na kuliona jua kwapendeza macho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanga wafaa, na kuliona jua kwapendeza macho.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanga wafaa, na kuliona jua kwapendeza macho.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nuru ni tamu, tena inafurahisha macho kuona jua.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nuru ni tamu, tena inafurahisha macho kuona jua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kweli nuru ni tamu, tena ni jambo la kupendeza macho kutazama jua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 11:7
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, Na uhai wangu utautazama mwanga.


Ili kurudisha roho yake itoke shimoni, Ili atiwe mwanga kwa mwanga wa walio hai.


Maana umeniponya nafsi yangu na mauti; Je! Hukuizuia miguu yangu isianguke? Ili niende mbele za Mungu Katika nuru ya walio hai.


Kwa kuwa BWANA, Mungu, ni jua na ngao, BWANA atatoa neema na utukufu. Hatawanyima kitu chema Hao waendao kwa ukamilifu.


Mng'ao wa macho huufurahisha moyo; Habari njema huinenepesha mifupa.


Maskini na mdhalimu hukutana pamoja; BWANA huwatia nuru macho yao wote wawili.


Kabla jua, na nuru, na mwezi, Na nyota, havijatiwa giza; Kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;


tena, haikuliona jua wala kulifahamu; basi, hii imepata kustarehe kuliko yule;


Hekima ni njema kama urithi; Naam, nayo ni bora kwao walionalo jua.


ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.