Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 11:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwenye kuuangalia upepo hatapanda; Naye ayatazamaye mawingu hatavuna.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anayengoja upepo hatapanda mbegu, anayesubiri mawingu yatoweke, hatavuna kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anayengoja upepo hatapanda mbegu, anayesubiri mawingu yatoweke, hatavuna kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anayengoja upepo hatapanda mbegu, anayesubiri mawingu yatoweke, hatavuna kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote anayeangalia mawingu hatavuna.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeyote atazamaye upepo hatapanda, yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye kuuangalia upepo hatapanda; Naye ayatazamaye mawingu hatavuna.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 11:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


Usiwanyime watu mema yaliyo haki yao, Ikiwa katika uwezo wa mkono wako kuyatenda.


Mawingu yakiwa yamejaa mvua, Yataimimina juu ya nchi; Na mti ukianguka kuelekea kusini, au kaskazini, Paangukapo ule mti, papo hapo utalala.


Kama vile wewe usipojua njia ya upepo ni ipi, wala jinsi mifupa ikuavyo tumboni mwake mja mzito; kadhalika huijui kazi ya Mungu, afanyaye mambo yote.