Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 11:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Tupa chakula chako juu ya maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jishughulishe na biashara hata kama kwa kubahatisha; yawezekana baadaye ukapata chochote kile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jishughulishe na biashara hata kama kwa kubahatisha; yawezekana baadaye ukapata chochote kile.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jishughulishe na biashara hata kama kwa kubahatisha; yawezekana baadaye ukapata chochote kile.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tupa mkate wako juu ya maji, kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tupa mkate wako juu ya maji, kwa maana baada ya siku nyingi utaupata tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tupa chakula chako juu ya maji; Maana utakiona baada ya siku nyingi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 11:1
21 Marejeleo ya Msalaba  

na asali, na siagi, na kondoo, na samli ya ng'ombe, wapate kula Daudi na watu waliokuwa pamoja naye; kwani walisema, Watu hao wanaona njaa, tena wamechoka, nao wana kiu huku nyikani.


Mtu mwovu hupata mshahara wa udanganyifu; Apandaye haki ana thawabu ya hakika.


Amhurumiaye maskini humkopesha BWANA; Naye atamlipa kwa tendo lake jema.


Mwenye jicho la ukarimu atabarikiwa; Maana huwapa maskini chakula chake.


Asubuhi panda mbegu zako, Wala jioni usiulegeze mkono wako. Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa, kama ni hii au hii, au kama zote zitafaa sawasawa.


Wakati wa kutafuta, na wakati wa kupoteza; Wakati wa kuweka, na wakati wa kutupa;


Heri ninyi mpandao mbegu kando ya maji yote, na kuiacha miguu ya ng'ombe na punda waende kokote.


Bali muungwana huwaza mambo ya kiungwana, naye hushika sana mambo ya kiungwana.


Na katika mwaka wa tano mtakula matunda yake, ili ipate kuwapa mavuno yake; mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.


Na nyumba ile ikistahili, amani yenu na iifikie; la, kwamba haistahili, amani yenu na iwarudie ninyi.


Na mtu awaye yote atakayemnywesha mmojawapo wa wadogo hawa angaa kikombe cha maji baridi, kwa kuwa ni mwanafunzi, amin, nawaambia, haitampotea kamwe thawabu yake.


Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.


Na Mfalme atajibu, akiwaambia, Amin, nawaambia, kadiri mlivyomtendea mmojawapo wa hao ndugu zangu walio wadogo, mlinitendea mimi.


nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.


Lakini nasema neno hili, Apandaye haba atavuna haba; apandaye kwa ukarimu atavuna kwa ukarimu.


Maana Mungu si dhalimu hata aisahau kazi yenu, na pendo lile mlilolidhihirisha kwa jina lake, kwa kuwa mmewahudumia watakatifu, na hata hivi sasa mngali mkiwahudumia.