Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimeona watumwa wanapanda farasi, na wakuu wanatembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimeona watumwa wanapanda farasi, na wakuu wanatembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimeona watumwa wanapanda farasi, na wakuu wanatembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, wakati wakuu wakitembea kwa miguu kama watumwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi, na wakuu wakienda kwa miguu juu ya nchi kama watumwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akatoka, na watu wote wakamfuata; wakakaa kidogo katika Beth-merhaki.


na aletewe mavazi ya kifalme ambayo mfalme amezoea kuyavaa, na farasi ambaye mfalme humpanda mwenyewe, ambaye ametiwa taji la kifalme kichwani;


Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Mtumwa apatapo kuwa mfalme; Mpumbavu ashibapo chakula;