Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuna uovu niliogundua hapa duniani, uovu unaosababishwa na watawala:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuna uovu niliogundua hapa duniani, uovu unaosababishwa na watawala:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuna uovu niliogundua hapa duniani, uovu unaosababishwa na watawala:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kuna ubaya niliouona chini ya jua, aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Liko baa nililoliona chini ya jua, nalo ni kama kosa litokalo kwake yeye atawalaye;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Maisha ya anasa hayampasi mpumbavu; Sembuse mtumwa awatawale wakuu.


Wenye haki washindapo, uko utukufu mwingi; Bali waovu waondokapo, watu hujificha.


Roho yake mtawala ikiinuka kinyume chako, Usiondoke mara mahali pako ulipo; Kwa maana roho ya upole hutuliza machukizo yaliyo makubwa.


ya kuwa upumbavu huwekwa mahali pa juu sana, nao wakwasi hukaa mahali pa chini.


Zaidi ya hayo, nikaona tena chini ya jua ya kwamba, Mahali pa hukumu upo uovu, Na mahali pa haki upo udhalimu.


Kisha nikarudi na kuona udhalimu wote unaotendeka chini ya jua; na tazama, machozi yao waliodhulumiwa, ambao walikuwa hawana mfariji; na upande wa wale waliowadhulumu kulikuwa na uwezo, lakini wale walikuwa hawana mfariji.


Kisha nikarudi tena, na kuona ubatili chini ya jua.


Kuna balaa mbaya sana niliyoiona chini ya jua, nayo ni hii, mali alizoziweka mwenyewe kwa kujinyima;


Kuna baa nililoliona mimi chini ya jua, nalo linawalemea wanadamu kwa uzito;


Baa hilo ni katika mambo yote yanayofanyika chini ya jua, ya kuwa wote wanalo tukio moja; naam, zaidi ya hayo, mioyo ya wanadamu imejaa maovu, na wazimu umo mioyoni mwao wakati walipo hai, na baadaye huenda kwa wafu.