Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa sababu ya uvivu paa hunepa; Na kwa ulegevu wa mikono nyumba huvuja.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kutokana na uvivu wa mtu, paa hubonyea; kwa sababu ya uzembe, nyumba huvuja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kutokana na uvivu wa mtu, paa hubonyea; kwa sababu ya uzembe, nyumba huvuja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kutokana na uvivu wa mtu, paa hubonyea; kwa sababu ya uzembe, nyumba huvuja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama mtu ni mvivu, paa la nyumba huinama; kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama, kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu ya uvivu paa hunepa; Na kwa ulegevu wa mikono nyumba huvuja.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mkono wa mwenye bidii utatawala; Bali mvivu atalipishwa kodi.


Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Matakwa yake mtu mvivu humwua, Kwa maana mikono yake hukataa kufanya kazi.


Kwa maana mlevi na mlafi huingia umaskini, Na utepetevu humvika mtu nguo mbovu.


Nasi twataka sana kila mmoja wenu aidhihirishe bidii ile ile, kwa utimilifu wa matumaini hata mwisho;