Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 10:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nyoka akiuma kabla hajachezeshwa, Basi hakuna faida ya mchezeshaji.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyoka akiuma kabla hajachochewa, mchochezi hahitajiki tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyoka akiuma kabla hajachochewa, mchochezi hahitajiki tena.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyoka akiuma kabla hajachochewa, mchochezi hahitajiki tena.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nyoka akiuma kabla ya kuchezeshwa, mchezeshaji hatahitajika tena.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi, mwaguzi hatahitajika tena.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyoka akiuma kabla hajachezeshwa, Basi hakuna faida ya mchezeshaji.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 10:11
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila.


Ee Mungu, uyavunje meno yao vinywani mwao; Ee BWANA, uyavunje magego ya wanasimba.


Waliounoa ulimi wao kama upanga, Wanaoyalenga maneno ya uchungu kama mishale,


Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi; Na wao waupendao watakula matunda yake.


Iwapo chuma hakipati, wala mtu hakinoi; Ndipo hana budi kutumia nguvu zaidi. Lakini yafaa kutumia hekima, na kufanikiwa.


Maana, tazama, nitatuma nyoka, naam, fira, kati yenu, wasioweza kutumbuizwa kwa uganga; nao watawauma, asema BWANA.


Nao ulimi ni moto; ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi, umewekwa katika viungo vyetu, nao ndio uutiao mwili wote unajisi, huuwasha moto mfululizo wa maumbile, nao huwashwa moto na Jehanamu.


Bali ulimi hakuna awezaye kuufuga; ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.