Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 1:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yaliyopotoka hayawezi kunyoshwa, Wala yasiyokuwapo hayahesabiki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kilichopindika hakiwezi kunyoshwa, kisichokuwapo hakiwezi kuhesabiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kilichopindika hakiwezi kunyoshwa, kisichokuwapo hakiwezi kuhesabiwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kilichopindika hakiwezi kunyoshwa, kisichokuwapo hakiwezi kuhesabiwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kilichopindika hakiwezi kunyooshwa; kile ambacho hakipo haiwezekani kukihesabu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kilichopindika hakiwezi kunyooshwa, kile ambacho hakipo haiwezekani kukihesabu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yaliyopotoka hayawezi kunyooshwa, Wala yasiyokuwapo hayahesabiki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 1:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena akuoneshe hizo siri za hekima, Ya kuwa hufanikiwa katika kuyatimiza makusudi yake! Ujue basi ya kuwa Mungu akuachilia katika uovu wako.


Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa;


Najua ya kwamba kila kazi aifanyayo Mungu itadumu milele; haiwezekani kuizidisha kitu, wala kuipunguza kitu; nayo Mungu ameifanya ili watu wamche Yeye.


Nikageuka, na moyo wangu ulikazwa katika kujua na kupeleleza, na kuitafuta hekima, na maana ya mambo yaliyoko; ili nifahamu ya kuwa uovu ni upumbavu, na upumbavu ni wazimu.


Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipoinuka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa;


Je! Mkushi aweza kuibadili ngozi yake, au chui madoadoa yake? Kama aweza, ndipo na ninyi mwaweza kutenda mema, ninyi mliozoea kutenda mabaya.


Ni nani asemaye neno nalo likafanyika, Ikiwa Bwana hakuliagiza?


na watu wote wanaokaa duniani wamehesabiwa kuwa si kitu, naye hufanya kama atakavyo, katika jeshi la mbinguni, na katika hao wanaokaa duniani; wala hapana awezaye kuuzuia mkono wake, wala kumwuliza, Unafanya nini wewe?


Ni yupi kwenu ambaye akijisumbua aweza kujiongeza kimo chake hata mkono mmoja?