Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mhubiri 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hakuna mtu anayekumbuka ya zamani wala atakayekumbuka yatakayotukia baadaye.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani, hata na wale ambao hawajaja bado hawatakumbukwa na wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakuna kumbukumbu lolote la vizazi vilivyotangulia; wala hakutakuwa na kumbukumbu lolote la vizazi vitakavyokuja, miongoni mwao wale watakaofuata baadaye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mhubiri 1:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Adui wameangamia na kuwa magofu milele. Nayo miji yao uliing'oa; Hata kumbukumbu lao limepotea.


Je! Kuna jambo lolote ambalo watu husema juu yake, Tazama, ni jambo jipya? Limekwisha kuwako, tangu zamani za kale zilizokuwa kabla yetu sisi.


Maana hakuna kumbukumbu la milele la mwenye hekima, wala la mpumbavu; kwa sababu siku zijazo wote pia watakuwa wamekwisha kusahauliwa. Na mwenye hekima, jinsi gani anavyokufa sawasawa na mpumbavu!


Pia nikaona waovu wamezikwa, nao wamefika kaburini; tena waliofanya mema wameondoka katika patakatifu, nao wamesahauliwa mjini. Hayo nayo ni ubatili.


kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana tuzo tena; maana hata kumbukumbu lao limesahauliwa.


Tazama, mambo ya kwanza yamekuwa, nami nayahubiri mambo mapya; kabla hayajatokea nawapasheni habari zake.