Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 8:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA alikuwa nami katika mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mwenyezi-Mungu aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, zama za zama kabla ya kuwako kitu chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mwenyezi-Mungu aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, zama za zama kabla ya kuwako kitu chochote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mwenyezi-Mungu aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, zama za zama kabla ya kuwako kitu chochote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mwenyezi Mungu aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, kabla ya matendo yake ya zamani;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“bwana aliniumba mwanzoni mwa kazi yake, kabla ya matendo yake ya zamani;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA alikuwa nami katika mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 8:22
8 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu ndiye aijuaye njia yake, Naye anajua mahali pake.


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Kwa hekima BWANA aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara;


Bali wewe, Bethlehemu Efrata, uliye mdogo kuwa miongoni mwa elfu za Yuda; kutoka kwako wewe atanitokea mmoja atakayekuwa mtawala katika Israeli; ambaye asili yake imekuwa tangu zamani za kale, tangu milele.


Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.


Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.