Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amechukua mfuko wa fedha mkononi; Atarudi wakati wa mwezi mpevu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amechukua bunda la fedha; hatarejea nyumbani karibuni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amechukua bunda la fedha; hatarejea nyumbani karibuni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amechukua bunda la fedha; hatarejea nyumbani karibuni.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amechukua mkoba uliojazwa fedha na hatakuwa nyumbani karibuni.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amechukua mkoba uliojazwa fedha na hatakuwepo nyumbani karibuni.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amechukua mfuko wa fedha mkononi; Atarudi wakati wa mwezi mpevu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:20
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa walipomimina magunia yao, kumbe! Bahasha ya fedha ya kila mtu imo katika gunia lake. Nao walipoziona bahasha za fedha zao, wao na baba yao waliogopa.


Angalia, najenga nyumba kwa jina la BWANA, Mungu wangu, ili kumfanyia wakfu, ya kufukizia mbele zake fukizo la manukato, na ya mkate wa wonyesho wa daima, na ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na za siku za sabato, na za mwezi mpya, na za sikukuu zilizoagizwa za BWANA, Mungu wetu. Hili ni agizo la milele kwa Israeli.


Maana mume wangu hayumo nyumbani, Amekwenda safari ya mbali;


Maji yaliyoibiwa ni matamu, Na mkate ulioliwa kwa siri hupendeza.


na mwanamume akalala naye kwa uasherati, na jambo hilo likafichika kwa mumewe, likawa jambo lisilojulikana, na huyo mwanamke akawa najisi, wala hapana shahidi aliyeshuhudia juu yake, wala hakufumaniwa;