Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 7:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimetia kitanda changu manukato, Manemane na udi na mdalasini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimekitia manukato, manemane, udi na mdalasini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimekitia manukato, manemane, udi na mdalasini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimekitia manukato, manemane, udi na mdalasini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimetia manukato kitanda changu kwa manemane, udi na mdalasini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimetia manukato kitanda changu kwa manemane, udi na mdalasini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimetia kitanda changu manukato, Manemane na udi na mdalasini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 7:17
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mavazi yako yote hunukia manemane Na udi na mdalasini. Katika majumba ya pembe Vinubi vimekufurahisha.


Binti za wafalme wamo Miongoni mwa akina bibi wako wastahiki. Katika mkono wako wa kulia amesimama malkia Akiwa amevaa dhahabu safi ya Ofiri.


Jitwalie manukato yaliyo bora, manemane mbichi shekeli mia tano, na mdalasini wenye harufu nzuri nusu ya kiasi hicho, yaani, shekeli mia mbili na hamsini, na miwa shekeli mia mbili na hamsini,


Haya, na tushibe upendo hadi asubuhi, Tujifurahishe nafsi zetu kwa mahaba.


Ni nani huyu apandaye kutoka nyikani, Mfano wake ni nguzo za moshi; Afukizwa manemane na ubani, Na mavumbi ya manukato yote ya mchuuzi?


Wedani, na Yavani, walifanya biashara toka Uzali kwa vitu vyako; chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai, vilikuwa katika bidhaa yako.


Akaenda Nikodemo naye, (yule aliyemwendea usiku hapo kwanza), akaleta mchanganyiko wa manemane na uudi, yapata ratili mia.