Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini akipatikana lazima alipe mara saba; tena atatoa mali yote aliyo nayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini akipatikana lazima alipe mara saba; tena atatoa mali yote aliyo nayo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini akipatikana lazima alipe mara saba; tena atatoa mali yote aliyo nayo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pamoja na hayo, kama akikamatwa, lazima alipe mara saba, ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa mali yote ya nyumba yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Kwa sababu hiyo yeyote atakayemwua Kaini atalipizwa kisasi mara saba. BWANA akamtia Kaini alama, mtu amwonaye asije akampiga.


naye atamrudishia yule mwana-kondoo mara nne, kwa sababu ametenda neno hili, na kwa sababu hakuwa na huruma.


Aliyoyataabikia kazi atayarudisha, asiyameze; Kwa mali aliyoyapata, hatafurahi.


Uwalipe jirani zetu mara saba vifuani mwao Laumu zao walizokulaumu, Ee Bwana.


mwenye shimo atalipa; atampa huyo mwenye mnyama fedha, na mnyama aliyekufa atakuwa ni wake.


Naye alipokosa cha kulipa, bwana wake akaamuru auzwe, yeye na mkewe na watoto wake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, ikalipwe ile deni.


Zakayo akasimama, akamwambia Bwana, Tazama, Bwana, nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimenyang'anya mtu kitu kwa hila namrudishia mara nne.