Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Usiutamani uzuri wake moyoni mwako; Wala usikubali akunase kwa kope za macho yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usimtamani mwanamke huyo kwa uzuri wake, wala usikubali kunaswa kwa kope za macho yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usimtamani mwanamke huyo kwa uzuri wake, wala usikubali kunaswa kwa kope za macho yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usimtamani mwanamke huyo kwa uzuri wake, wala usikubali kunaswa kwa kope za macho yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wako usitamani uzuri wake, wala macho yake yasikuteke,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wako usitamani uzuri wake wala macho yake yasikuteke,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiutamani uzuri wake moyoni mwako; Wala usikubali akunase kwa kope za macho yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:25
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hata Yehu alipofika Yezreeli, Yezebeli akapata habari; akatia uwanja machoni mwake, akapamba kichwa chake, akachungulia dirishani.


Nilifanya agano na macho yangu; Basi ningewezaje kumwangalia msichana?


Umenishangaza moyo, dada yangu, Bibi arusi, umenishangaza moyo, Kwa mtupo mmoja wa macho yako, Kwa mkufu mmoja wa shingo yako.


BWANA akasema tena, Kwa sababu binti za Sayuni wana kiburi, na kuenda na shingo zilizonyoshwa, na macho ya kutamani, wakienda kwa hatua za madaha, na kuliza njuga kwa miguu yao;


Na wewe, utakapotekwa, utafanyaje? Ujapojivika mavazi mekundu, ujapojipamba mapambo ya dhahabu, ujapojitia wanja machoni, unajifanya kuwa mzuri bure tu; wapenzi wako wanakudharau; wanakutafuta roho yako.


Tena mmewatuma watu kuwaita watokao mbali; ambao mjumbe alitumwa kwao, na tazama, wakaja; nawe ulijiosha kwa ajili yao, ulitia rangi macho yako, na kuremba kwa mapambo mazuri;


lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.


Wala usimtamani mke wa jirani yako; wala usiitamani nyumba ya jirani yako, wala shamba lake, wala mtumwa wake, wala mjakazi wake, wala ng'ombe wake, wala punda wake, wala kitu chochote alicho nacho jirani yako.