Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Msikilize baba yako aliyekuzaa, Wala usimdharau mama yako akiwa mzee.


Kuna kizazi cha watu wamlaanio baba yao; Wala hawambariki mama yao.


Mwanangu, sikiliza hekima yangu; Tega sikio lako, uzisikie akili zangu;


Miguu yake inateremkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;


Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,


Nasi tumeitii sauti ya Yonadabu, mwana wa Rekabu, baba yetu, katika yote aliyotuamuru, kwamba tusinywe divai siku zetu zote, sisi, na wake zetu, na wana wetu, na binti zetu;


Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, maana hii ndiyo haki.


Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikizi,


Na alaaniwe amdharauye baba yake au mama yake. Na watu wote waseme, Amina.