Methali 6:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako; Biblia Habari Njema - BHND Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako; Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, wala usisahau mafundisho ya mama yako; Neno: Bibilia Takatifu Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako. Neno: Maandiko Matakatifu Mwanangu, zishike amri za baba yako, wala usiyaache mafundisho ya mama yako. BIBLIA KISWAHILI Mwanangu, shika maagizo ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako. |
Nikaona katikati ya wajinga, Nikamtambua miongoni mwa vijana, Kijana mmoja asiyekuwa na akili,
Nasi tumeitii sauti ya Yonadabu, mwana wa Rekabu, baba yetu, katika yote aliyotuamuru, kwamba tusinywe divai siku zetu zote, sisi, na wake zetu, na wana wetu, na binti zetu;
Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikizi,