Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 6:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

shahidi wa uongo abubujikaye uongo, na mtu achocheaye fitina kati ya ndugu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

shahidi wa uongo abubujikaye uongo, na mtu achocheaye fitina kati ya ndugu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

shahidi wa uongo abubujikaye uongo, na mtu achocheaye fitina kati ya ndugu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo, na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Shahidi wa uongo asemaye uongo; Naye apandaye mbegu za fitina kati ya ndugu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 6:19
24 Marejeleo ya Msalaba  

Usinitie katika nia ya watesi wangu; Maana mashahidi wa uongo wamenijia, Nao watoao jeuri kama pumzi.


Mashahidi wa udhalimu wanasimama, Wananiuliza mambo nisiyoyajua.


Usimshuhudie jirani yako uongo.


Usivumishe habari za uongo; usishirikiane na mwovu kwa kuwa shahidi wa uongo.


Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.


Shahidi mwaminifu hatasema uongo; Bali shahidi wa uongo, pumzi zake ni uongo.


Mtu mshupavu huleta fitina; Na mchongezi huwafarakanisha rafiki.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Wala asemaye uongo hataokoka.


Shahidi wa uongo hakosi ataadhibiwa; Naye asemaye uongo ataangamia.


Shahidi wa uongo atapotea; Bali mtu asikiaye atasema maneno yadumuyo.


Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.


Mtu amshuhudiaye jirani yake uongo Ni nyundo, na upanga, na mshale mkali.


Moto hufa kwa kukosa kuni; Na bila mchongezi fitina hukoma.


Mna upotovu moyoni mwake, hutunga uovu daima, Hupanda mbegu za magomvi.


Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.


Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wizi, ushuhuda wa uongo, na matukano;


Basi wakuu wa makuhani na baraza yote wakatafuta ushuhuda wa uongo juu ya Yesu, wapate kumwua;


Wakasimamisha mashahidi wa uongo waliosema, Mtu huyu haachi kusema maneno ya kufuru juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya torati;


Lakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa magomvi.


Na tunda la haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.