Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 5:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala sikuisikia sauti ya waalimu wangu, Wala sikuwategea sikio langu walionifundisha!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sikuisikiliza sauti ya waalimu wangu, wala kuwategea sikio wakufunzi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sikuisikiliza sauti ya waalimu wangu, wala kuwategea sikio wakufunzi wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sikuisikiliza sauti ya waalimu wangu, wala kuwategea sikio wakufunzi wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sikuwatii walimu wangu, wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sikuwatii walimu wangu wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala sikuisikia sauti ya waalimu wangu, Wala sikuwategea sikio langu walionifundisha!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 5:13
7 Marejeleo ya Msalaba  

akawajibu kama vile walivyomshauri vijana, akasema, Baba yangu alilifanya zito kongwa lenu, bali mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, bali mimi nitawapigeni kwa nge.


Mwanangu, yasikilize mafundisho ya baba yako, Wala usiiache sheria ya mama yako,


Nilikuwa karibu na kuingia katika maovu yote, Katikati ya mkutano na kusanyiko.


Nitaondoka, nitakwenda kwa baba yangu na kumwambia, Baba, nimekosa juu ya mbingu na mbele yako;


Basi yeye anayekataa, hakatai mwanadamu bali Mungu, anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.


Wakumbukeni wale waliokuwa wakiwaongoza, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa mwenendo wao, iigeni imani yao.