Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 4:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fikiria njia utakayochukua, na hatua zako zote zitakuwa kamili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fikiria njia utakayochukua, na hatua zako zote zitakuwa kamili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fikiria njia utakayochukua, na hatua zako zote zitakuwa kamili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sawazisha mapito ya miguu yako na njia zako zote ziwe zimethibitika.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sawazisha mapito ya miguu yako na njia zako zote ziwe zimethibitika.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulisawazishe pito la mguu wako, Na njia zako zote zithibitike;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 4:26
19 Marejeleo ya Msalaba  

Ningependa njia zangu ziwe thabiti, Nizitii amri zako.


Ninapozitafakari njia zako, Naielekeza miguu yangu kwa shuhuda zako.


Hatua za mtu mwema huimarishwa na BWANA, Naye huipenda njia yake.


Akanipandisha toka shimo la uharibifu, Toka udongo wa utelezi; Akaisimamisha miguu yangu mwambani, Akaziimarisha hatua zangu.


Upumbavu ni furaha kwake aliyepungukiwa na akili; Bali mwenye ufahamu huunyosha mwenendo wake.


Asiye haki huufanya uso wake kuwa mgumu; Bali mtu mnyofu huzifikiri njia zake.


Sikia, mwanangu, uwe na hekima, Na kuuongoza moyo wako katika njia njema.


Macho yako yatazame mbele, Na kope zako zitazame mbele yako sawasawa.


Kwa maana njia za mwanadamu ziko mbele ya macho ya BWANA, Na mienendo yake yote huitafakari.


Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutangatanga wala hana habari.


Kwa sababu atafakari, na kughairi, na kuyaacha makosa yake yote aliyoyatenda, hakika ataishi, hatakufa.


Basi sasa, BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


BWANA wa majeshi asema hivi, Zitafakarini njia zenu.


Basi angalieni sana jinsi mnavyoenda; si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima;


Kwa sababu hiyo msiwe wajinga, bali mfahamu ni nini yaliyo mapenzi ya Bwana.


apate kuifanya imara mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu, Baba yetu, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote.


Lakini Bwana ni mwaminifu, atakayewafanya imara na kuwalinda kutoka kwa yule mwovu.


mkaifanyie miguu yenu njia za kunyoka, ili kitu kilicho kiwete kisipotoshwe, bali afadhali kiponywe.


Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawaimarisha, atawathibitisha, atawatia nguvu na kuwapa msingi imara.